Kibidiyo

Kibidiyo ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Chad inayozungumzwa na Wabidiyo. Mwaka wa 1981 idadi ya wasemaji wa Kibidiyo imehesabiwa kuwa watu 14,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibidiyo iko katika kundi la Kichadiki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search